ELIMU

JE UMEPATA KITU?
TZS 1,500

JE UMEPATA KITU?

YUNUS SHABANI HANGA

Mwandishi

Hii ni hadithi ya maisha, nidhamu, na mafunzo ya kweli. Maisha ya BIG NO inafuatilia Grory, mwanafunzi mdogo anayejaribu kuelewa dunia yake yenye changamoto. Kutoka kwenye malezi ya mama yake anayemfundisha kujitambua, kujiamini, na kujitegemea, hadi kugundua ukweli mgumu shuleni: rafiki yake Winfrida amemimba, jambo linalobadilisha mtazamo wa shule nzima. Kila kipindi, kila kengele, na kila “BIG NO” kutoka kwa mkuu wa shule ni funzo la maisha: umuhimu wa kufuata sheria, kudumisha nidhamu, na kufanya maamuzi sahihi hata pale changamoto zinaposhindikana. Riwaya hii ni mchanganyiko wa hisia, mafunzo ya kijamii, na changamoto za ujana. Inakufundisha jinsi ya kujisimamia, kuthamini elimu, na kuthubutu kusema “hapana” wakati inahitajika.

Riwaya 2 sehemu 114 views Inaendelea

Sehemu (2)

Simulizi hii ni ya kulipia

TZS 1,500

Maoni (0)

Ingia ili kuacha maoni.

Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza!

Profaili

Alama ya uaminifu